Wakuu mara baada ya kutoka kwa ripoti CAG na kuonyesha uozo na ubadhirifu mkubwa wa mali za umma wabunge,wasomi wanasiasa na wananchi mbalimbali wamempongeza sana Ludovick Uttoh mkaguzi na mdhibiti mkuu wa serikali kwa kazi nzuri sasa je? bado CAG anatakiwa kuwajibika dhidi ya ripoti ya katibu mkuu wa Nishati na madini David Jairo ambayo ilimsafisha huku kukiwa na ubadhilifu wa waziwazi?
Mapendeko yangu;
ni vema pia hili la kubadilisha na kuondoa viongozi wabadhilifu pia likamhusisha Ludovick Uttoh dhidi ya ripoti yake dhidi ya David Jairo, wewe una maoni gani?
Mapendeko yangu;
ni vema pia hili la kubadilisha na kuondoa viongozi wabadhilifu pia likamhusisha Ludovick Uttoh dhidi ya ripoti yake dhidi ya David Jairo, wewe una maoni gani?