Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Hapo ni mwanzo tuu , tutaona sana hawa clouds wakifanya mengi, ikiwapo siku ya kifo cha wasanii wa Tanzania pale proffesional mastering studio ambayo JK atamkabidhi Ruge hivi karibuni , itakapo ingia.
Hii kampeni ilikua ya dhukuma baada ha Mr II kuibiwa aidea na hawa clouds ni jambo la kawaida kufanya hivyo.
Kwa ujanja wa RUge amesha mkamata Januari Makamba, Mwamvita ,Kevin Twisa na wengine wote muhimu kw amasalahi yao clouds .
RUge amesha jijenga kwa KIkwete ,pia ni yuko karibu na Rizawan ,wote hawa JK,Rizwan na badhi ya viongozi wenye maamuzi hawana idea na utendaji wa huyu RUge , wao wakidhani ni mtu mzui anaye zaidi vijana mbaka kuanzisha taasisi yake ya THT.
NIkweli wasanii haswa alio kwnye THT hapo ukipata na fasi uwaulize utapata habari nyingi za kushangaza tofauti na unavyo waona jukwani wakisifia clouds.
Cloud radio and soon Clouds TV , tukianza na hao presenters ni wote wana udhalimmu na dhuluma kubwa kwa wasanii.
Tamasha hilo liliandaliwa zaidi kwa wasanii wa THT na mbaka yule mmoja akakosa mistari na kuanz akuimba YOriYori
Tuhuma za Ray C hapo naona memeuonea , alifunika sanamwili wake siku ile na pia sikuona ajabu kwani ukiangalai wacheza ngoma zaasili wanapo cheza ngoma mbele ya viongozi huwa wan avaa uchi zaidi hata ya huyu dada
JK ni mtu kileo yeye mwenywe ni big fan wa Bongo flava sidhani kuondoka kwake ni sababu ya kivazi cha RAyC kwanz ainawezekana alimuona kapendeza.
Hii kampeni ilikua ya dhukuma baada ha Mr II kuibiwa aidea na hawa clouds ni jambo la kawaida kufanya hivyo.
Kwa ujanja wa RUge amesha mkamata Januari Makamba, Mwamvita ,Kevin Twisa na wengine wote muhimu kw amasalahi yao clouds .
RUge amesha jijenga kwa KIkwete ,pia ni yuko karibu na Rizawan ,wote hawa JK,Rizwan na badhi ya viongozi wenye maamuzi hawana idea na utendaji wa huyu RUge , wao wakidhani ni mtu mzui anaye zaidi vijana mbaka kuanzisha taasisi yake ya THT.
NIkweli wasanii haswa alio kwnye THT hapo ukipata na fasi uwaulize utapata habari nyingi za kushangaza tofauti na unavyo waona jukwani wakisifia clouds.
Cloud radio and soon Clouds TV , tukianza na hao presenters ni wote wana udhalimmu na dhuluma kubwa kwa wasanii.
Tamasha hilo liliandaliwa zaidi kwa wasanii wa THT na mbaka yule mmoja akakosa mistari na kuanz akuimba YOriYori
Tuhuma za Ray C hapo naona memeuonea , alifunika sanamwili wake siku ile na pia sikuona ajabu kwani ukiangalai wacheza ngoma zaasili wanapo cheza ngoma mbele ya viongozi huwa wan avaa uchi zaidi hata ya huyu dada
JK ni mtu kileo yeye mwenywe ni big fan wa Bongo flava sidhani kuondoka kwake ni sababu ya kivazi cha RAyC kwanz ainawezekana alimuona kapendeza.