Mapondela
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 454
- 83
We we Boss. Hivi hujasikia watu wanavyofanyiziwa kwa mambo hayo. Watafanya kitu mbaya huku wanaku chukua mkanda wa video shauri yako.BOSS, kwa maoni yangu sioni kama hilo ni tatizo bali inaonyesha mapenzi yako ya kweli kwa huyo binti na ndiyo maana unaona wivu. Na katika mahusiano mengine na mke wa mtu unaweza kabisa kumshawishi ili avunje ndoa yake na kupata uhuru wa kuwa pamoja bila wasiwasi wowote na hili limeshatokea mara nyingi sehemu mbali mbali duniani, labda ukishajua binti kaolewa basi ni kuingia mitini haraka sana ili kupunguza tatizo lako, lakini huwezi kumpenda mtu na usisikie wivu hata akiwa mke/mume wa mtu especially kama kuna mapenzi ya kweli kati yenu.