Plz, wana jf" rafiki ana girlfrend, binti huyo anapokuwa naye hamwoneshi mapenzi (her feellings to him) but anapokuwa na marafiki zake huwapa story kuhusu boyfrend wake na kuonesha kuwa anampenda sana, so hii ina maana gani?
mwayaego huyo dada hampendi huyo kaka...
sema huyo kaka anavutia kwa nje au au ana mkwanja fulani,,,
so huyo dada anamtumia kuwatambia marafiki zake,
amwache atafute mwengine....:redfaces:
mwayaego huyo dada hampendi huyo kaka...
sema huyo kaka anavutia kwa nje au au ana mkwanja fulani,,,
so huyo dada anamtumia kuwatambia marafiki zake,
amwache atafute mwengine....:redfaces:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.