Hivi haya mambo yapo??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Nimesikia jamaa akimuhadithia mwenzake jinsi alivyompata demu wakaenda naye baa wakarudi hostel jamaa wakala together!!Nikasikia kinyaa mademu mpaka wanatongoza kuna tena kula together??
Zamani mnaitana kwa hajili ya shughuli hiyo nademu akijua hakuna noma!!Lakini kwa dunia ya sasa na maradhi yote hapana!:redfaces:
 
Nimesikia jamaa akimuhadithia mwenzake jinsi alivyompata demu wakaenda naye baa wakarudi hostel jamaa wakala together!!Nikasikia kinyaa mademu mpaka wanatongoza kuna tena kula together??
Zamani mnaitana kwa hajili ya shughuli hiyo nademu akijua hakuna noma!!Lakini kwa dunia ya sasa na maradhi yote hapana!:redfaces:

KK hapo kwenye red fafanua tafadhali
 
jamani huyu Kakakiiza na pdidy wananipaga tabu kuelewa wanazungumziaga nini?:spy:
 
Nimesikia jamaa akimuhadithia mwenzake jinsi alivyompata demu wakaenda naye baa wakarudi hostel jamaa wakala together!!Nikasikia kinyaa mademu mpaka wanatongoza kuna tena kula together??
Zamani mnaitana kwa hajili ya shughuli hiyo nademu akijua hakuna noma!!Lakini kwa dunia ya sasa na maradhi yote hapana!:redfaces:


kakakiiza=antwomen.
 
mimi sijaelewa hata moja..

huku safi..
wewe huko?

kweli kanichanganya trip hii
mmmhhh
nway huku fresh tu ...
nasubiri le ticket uliniahidi
tuende ile holiday kule mahali
hahahahahahah lol
coz ur the Boss na ninasubiri ruhusa pia lol
 
kweli kanichanganya trip hii
mmmhhh
nway huku fresh tu ...
nasubiri le ticket uliniahidi
tuende ile holiday kule mahali
hahahahahahah lol
coz ur the Boss na ninasubiri ruhusa pia lol

wewe tu...
uko tayari lini?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom