Mkodoleaji
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 458
- 138
Jamani nimeshangaa sana kuona Mh. Mrema, Mh. Cheyo na Mh. Zitto wakiwa na CAG Utouh akitoa maoni kuhusu ufisadi serikalini. Kwanza ni vizuri Mzee Utouh ameweza kuanika ufisadi. Lakini kitu kinachonishangaza ni hawa wenyeviti wa Kamati za Bunge kumsikiliza mtu ambaye bunge wanaloliwakilisha lilisema inabidi aachie hiyo ngazi.
Hivi hawa waheshimiwa hawaoni kuwa hapo wanajichanganya?
Hivi hawa waheshimiwa hawaoni kuwa hapo wanajichanganya?