Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Nakumbuka huyo kanda bongoman,alikuja akapiga mnazi bure,mzee ilikuwa patashika nguo kuchanika,watu wawili walipoteza maisha,kuna dem alijichomeka katikati ya watu,kutoka chupi hana,nyimbo yenyewe alipiga moja umeme ukakatika na onyesho likaisha
Tehetehetehe...
Vya bure bwana! Sasa mkashindwa hata kuwashinikiza waweke jenereta coz ilikua bure! Lol!