Si EWURA wala HEURA. Ni SUMATRA ndo wanahusika.
kwetu ni sh 2315......sijui kama itakuwa imeongezeka coz siku hizi mambo ni kimya kimya........
Tuliyonunua magari kwa bahati mbaya au mikopo itabidi tupaki maanake hali inatisha. Diesel sijui ni 2181, petrol Preta kanisaidia tutemee hali kuwa mbaya zaidi kuanzia nauli za daladala, chakula n.k
yaani wamekaa kimya tu bei iko juu balaa
hawajui bei ya Petroli kwasababu wao hawanunuagi
Hii regulatory body inatia Aibu! Dar petrol 2332 kwa litre! Mikoani 2500 Hii ni Aibu ! Toeni angalizo basi hata Kama mume nunuliwa na gurus wa biashara za mafuta
Hili linchi Kila kitu fake