Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wadau,kama mnakumbuka tcu walituambia deadline ya kufanya registration ni tar 4/07/2012 saa 00:01,sasa cha kushangaza deadline imepita ila wenyewe bado hawajatoa update ya kitu chochote kinachoendelea kwenye website yao.mfano saa hzi ukilog in kwenye cas utakutana na maneno yaleyale na still you can make some changes.sasa nauliza,hvi kweli organisation kubwa kama hii inafanya mambo kienyeji kienyeji kiasi hiki,wako seriouse kweli?