silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Mabadiliko ya jinsi ya ujazaji wa form za mikopo kutoka HESLB ni wa kisiasa tupu, watu wenyewe walio wekwa kwenye help desk na hawapokei simu. Zinaita mpaka zinakata, na sometimes hazipatikani.
Sasa mimi nauliza;
HUYU ALIYE THIBITISHA KUWEKWA KWA COMPLICATION ZOTE HIZI NI NANI?
JAMANI WATANZANIA TUSIKUBALI KIJINGAJINGA MAMBO YA MSINGI KAMA HAYA.
Wanakijiji watasoma kweli elimu ya juu?
Kuna watu wengi wanamaliza form six hawawezi kutumia compyuta je na wao watapata kweli mikopo, ikiwa hata mimi mwenye utundu wa kutumia compyuta nimetumia shiringi 25000/- ya kupiga simu bila hata kufanikiwa kujaza hata hizo form?
Wanajamii mnasemaje kuhusu mabadiliko haya, HESLB wapokisawa kweli, na serikali imeliona hili?
Sasa mimi nauliza;
HUYU ALIYE THIBITISHA KUWEKWA KWA COMPLICATION ZOTE HIZI NI NANI?
JAMANI WATANZANIA TUSIKUBALI KIJINGAJINGA MAMBO YA MSINGI KAMA HAYA.
Wanakijiji watasoma kweli elimu ya juu?
Kuna watu wengi wanamaliza form six hawawezi kutumia compyuta je na wao watapata kweli mikopo, ikiwa hata mimi mwenye utundu wa kutumia compyuta nimetumia shiringi 25000/- ya kupiga simu bila hata kufanikiwa kujaza hata hizo form?
Wanajamii mnasemaje kuhusu mabadiliko haya, HESLB wapokisawa kweli, na serikali imeliona hili?