ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Yupo TBC 1 jambo Tanzania anazungumzia mgogoro wa walimu. Hawa Ghasi waziri mwenye dhamana ya TAMISEMi leo wanazungumzia jambo mgogoro ambao wakati fulani ulipohusu madaktari wao wenyewe ukiacha JK walidai hawapaswi kuzungumzia jambo kama hilo liliopo mahakamani.Hivi hili la walimu limewagusa sana mkadharau Mahakama!?