hawa ni baadhi ya washiriki wa miss kagera, vipi wako bomba?
Wanaonekana kama wako kibiashara zaidi
HahahahahahahahahaDahhhhh we hapana Umenichekesha kwa kweliMmmmmmhhhh eti local brew hahahahaahalolHivyo vyote vinakunywa local brew. Ona midomo yao ilivyokaa kiwiziwizi tu.