Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,068
mhh kuna wanaume wana nuka shombo haswaaaaaaa..wananuka ******..map....u..mb...dudu..wananuka kila ki
tu so kunuka ni tabia ya mtu awe ke au me...ni usafi tu....boksa wik ahh utaacha kunuka?kitu cha amazon twiga anajificha usinuke?kaenda kupuu hatumii maji usinike?ana jig jig afu wala hajioshi fresh jana katumia dume condom leo katumia salama condom yenye harufu ya nanas afu hasafishi fresh mwiko mafuta yanabakia pale kat usinuke?
Kunuka hakunaga jinsia ni usafi na uchafu wa mtu
nawasilisha:lalala:
kweli kabisa