Hivi hakuna uwezekano wa kusimamisha safari za rais?

Kabla rais hajaacha kusafiri vipi goodby lema ambaye kila siku yuko uingereza kwenye makwapa ya conservative party?? Juzi tulishihudia madiwani wa chadema wanataka kwenda rwanda kwa kutumbua milioni 200?? Hapa hakuna kitu ni wivu tu. Ziara za rais zinakuathiri vipi?? Kodi yenyewe ulipi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom