BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kwa wenye udodondozi embu tupatieni njia ya kupata bia za kichina
nahisi zitakuwa nzuri na tamu sana ukilinganisha na bidhaa zaow anazotuletea
si hivyo naamini hata bei nazo zitakuwa za kichina kulinganisha na hawa wapogor wenzetu
wa s.afrika waliokuja kutukwangua pesa zetu
weekend njema
nahisi zitakuwa nzuri na tamu sana ukilinganisha na bidhaa zaow anazotuletea
si hivyo naamini hata bei nazo zitakuwa za kichina kulinganisha na hawa wapogor wenzetu
wa s.afrika waliokuja kutukwangua pesa zetu
weekend njema