Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,360
jamana kwa mliokua mnafatalia bunge la jana, mh. Mbunge wangu wa arusha mjini, aliomba mwongozo, au ni mbinu za kutaka kum'bambikizia kesi kuwa kamchafulia jina waziri mkuu??
jamana kwa mliokua mnafatalia bunge la jana, mh. Mbunge wangu wa arusha mjini, aliomba mwongozo, au ni mbinu za kutaka kum'bambikizia kesi kuwa kamchafulia jina waziri mkuu??
Aliomba mwongozo wa spika na kuuliza swali kama mtu mkubwa eg Waziri Mkuu ikathibitika kadanganya umma ni kifungu kipi cha sheri kinapaswa kumwajibisha?
Sasa Mweshimiwa speaker ilimchukua kadri ya saa kutoa jibu na akaja akasema Lema atoe ushahidi sasa sikumwelewa Speaker anamaanisha nini?
Je speaker anaelewa alicho ulizwaaa au alikurupuka kujibu au ushauri aliopewa ulikuwa hauna mwelekeo wao wakaubadirisha ukawa Tuhuma ili waseme mbunge huyo hafai au nini?
Nisha sema kitambo kuwa Anna makinda anaitaji msaaada mkubwa kisheria lasivyo hii miaka miwili ya mwanzo itamwia vigumu sana huyo Speaker.
Nadhani CCM wao wanafanya njama huku Chadema wanataka kuhakikisha Speaker hana uzoefu na hapo ndipo pagumu na mama tayali alisha anza onyesha upendeleo kwa serikali ndio yale yale walikuwa hawayataki kwa Sitta na sasa mama ndio anayafanya sasa kwa serikali nadhani ndivyo serikali ilitaka.
:clap2:Nafikiri kua sisiem watazidi kutufanyia njama lakini watambue kua kila kitu kina mwisho wake lakini kwa hili si mbaya sana jibu lipo ni kua alisema wameuawa raia wa TZ 3 wakani ni waTZ wawili na mkenya mmoja hiyo inatosha kudhibitisha hili.
jamana kwa mliokua mnafatalia bunge la jana, mh. Mbunge wangu wa arusha mjini, aliomba mwongozo, au ni mbinu za kutaka kum'bambikizia kesi kuwa kamchafulia jina waziri mkuu??
kuomba muongozo ni jambo la kwanza lakini ndani ya huo mwongozo unaweza ukatukana, ukakashfu, ukadhalilisha nk.
Lema aliomba muongozo kuwa mtu kama pm anapo lidanganya bunge, mbunge achukue hatua gani?, kitendo cha kusema pm kadanganya bunge ni kizito na lazima kithibitishwe kwanza sasa tatizo ni nini?.
Mwenyewe amekiri na amesema atapeleka huo ushahidi ninyi wasi wasi wenu nini?
CCM wanataka kutuharibia nchi.