Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu zangu wanaJF,
Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la ufunguzi wa matawi ya ccm nje ya nchi kama vile UK, URUSI, n.k. Sikumbuki kama hali hiyo ilikuwepo enzi za wazee wetu Nyerere, Mwinyi na Mkapa. Tafadhali wenye kumbukumbu nzuri wanijuze kama kweli hata enzi za wazee hao kulikuwa na matawi ya ccm huko nje ya nchi. Kama hayakuwepo, kwa nini hivi sasa hali hiyo imeshamiri kiasi hicho!!! Au ndiyo mwendelezo wa tabia ileile ya 'usanii'
Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la ufunguzi wa matawi ya ccm nje ya nchi kama vile UK, URUSI, n.k. Sikumbuki kama hali hiyo ilikuwepo enzi za wazee wetu Nyerere, Mwinyi na Mkapa. Tafadhali wenye kumbukumbu nzuri wanijuze kama kweli hata enzi za wazee hao kulikuwa na matawi ya ccm huko nje ya nchi. Kama hayakuwepo, kwa nini hivi sasa hali hiyo imeshamiri kiasi hicho!!! Au ndiyo mwendelezo wa tabia ileile ya 'usanii'