BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,000
Inajulikana kua nchi inaongozwa na siasa ndani ya katiba na sera,mfano,shule nyingi hazina maabara,elimu kwa vitendo ipo chini,na kwani elimu si vyumba vya madarasa hasa kwa elimu ya sekondari.siasa na sera zake zinapochanganywa na elimu je inakuaje hapa,weekwend njema