Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Wajameni naweza kuwa nilipitwa kidogo na post kuhusu edu ya Kikwete au dr yake ni ya nini?Kila leo watu wanasema khs ya Slaa ambayo mie naiheshimu sana maaana Theology si mchezo ina kila kitu...samahanini kama kuna post kuhusu dr ya Jakaya Kikwete ambayo sijaiona...
Ijumaa njema mwana wane
Ijumaa njema mwana wane