Hivi Dr Mary Nagu kapatwa na nini leo?

Jamani naomba jadilini hoja na sio kutoa matusi. Hii inaonesha awp hujaonesha ukomavu hata kidogo.
kumbuka si wote wanapenda kuona matusi. Kiongozi dhaifu ajadiliwe na udhaifu wake lakini sio kutoa matusi kama haya ambayo yanatia aibu. Plz Jirekebishe.
Nyege sio tusi, ni hisia, kama vile hasira,huzuni,furaha,njaa, n.k nyie ndio mnaoamini ngono ni kitu kibaya sana, sijui mngezaliwaje?
 
katika baraza la mawaziri huyu mama ni msanii na kilaza mkubwa. Yule mama wa kipindi cha daladala cha TBC au yule wa Mizengwe ni bora wangepewa nafasi yake. Borerer mkubwa
 
Huyu mama akiingia JF leo atatafuna screen shauri yenu. Hahahahahha kuna siku nlikutana naye akantolea pumba ya mwaka but nadhani ilikuwa ni bahati mbaya masikini.
 
alikuwa anakumbuka alivyoumbuliwa na Kanelugaba juu ya Udaktari feki, hivi alishaenda kusomea kama Dr Nchimbi au la!
 
alikuwa anakumbuka hapa
Mwanaharakati huyo alidai ushahidi wa kupewa taarifa na tume hiyo anao kutokana na kuandikiwa barua nane alizojibiwa na tume hiyo wakati akifanya uchunguzi wake wa kutaka kujua elimu za viongozi hao.
Katika kitabu hicho ambacho katika jalada la mbele kimepambwa na picha za viongozi kumi ambao anadai kuwa wamegushi vyeti.
Viongozi hao ni pamoja na Waziri wa Jumuia ya Afrika Mashariki, Dk. Diodorus Kamala, Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk. Mary Nagu, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Vijana na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga.
Wengine ni Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Emmanuel Nchimbi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Mbunge wa Ismani, William Lukuvi, Victor Mwambalaswa, Mbunge wa Lupa (CCM), Omar Kwaang'w Mbunge wa Babati Mashariki, pamoja na Mbunge wa Mwanza, Anthony Diallo.
 
Back
Top Bottom