Hivi dots/nukta iliyopo/zilizopo kwenye Button namba 5 za SIMU zinamaana ganii????

Mdau Makini

Member
Sep 18, 2012
70
10
Ndugu waungwana, mimi naomba mnitoe ushamba katika hili,SIMU nyingi zina Dot au hata kama sio Dot basi ni Alama fulani mithili ya dot tofauti na Button zingine kwenye Button namba 5. mfano;Nokia E5, Nokia E72.... Hiyo ni mifano kiduchu zipo nyingi.Hivi hizi dot zina maana gani??,au zina kazi gani???...au zina uhusiano gani na hii Button??.Naomba msaada wenu waheshimiwa japo sina uhakika kama hii thread ndo ilibidi ni Post hapa!.
 
Ili uweze kujua kidole kiko wapi bila kuangalia keyboard, ni muhimu zaidi kwa wenye matatizo ya kuona ila mtu yoyote anaweza kutumia.
 
Wanatumia vpofu kwan alama hyo ipo kla kwenye smu yenye keypad na si softtouch.ila waapuuz wanadai n alama za freemason
 
Wanatumia vpofu kwan alama hyo ipo kla kwenye smu yenye keypad na si softtouch.ila waapuuz wanadai n alama za freemason

yeah kama waheshimiwa walivyosema hapo juu,hizo alama ni kwa ajili ya vipofu au wasioona au kurahisisha namna ya kuchapa haraka katika uchapaji(typing) mfano zipo pia kwenye keyboard J and F Kusaidia namna ya kupanga vidole ktk uchapaji
 
Ahsante sana kwa majibu mazuri waheshimiwa, mmenifumbua macho inaonekana na mimi nilikuwa kipofu ninaye ona katika hili.
 
Wanatumia vpofu kwan alama hyo ipo kla kwenye smu yenye keypad na si softtouch.ila waapuuz wanadai n alama za freemason

watu wa dizain hiyo wananikera kweli kila kitu free mason wanaipa promo ya bure
 
I believe 100% that freemasons are behind the scenes of everything you hear, see & touch!

KAMA HUAMINI BASI TAMBAA, SIPENDI NONGWA. :popcorn:

Mia !! :poa:
 
I believe 100% that freemasons are behind the scenes of everything you hear, see & touch!

KAMA HUAMINI BASI TAMBAA, SIPENDI NONGWA. :popcorn:

Mia !! :poa:

Huo ndiyo ukweli mkuu %100
 
Back
Top Bottom