Wakuu naona sasa kila nikizikusanya zina pelea sasa naomba kama anayejua kampuni inayo kopesha gari kwa watumishi/wafanyakazi Dar anisaidie make naona ndoto za kuwa na usafiri wa miguu 6 inashindikana kutimia.
Ziko ila kuna kitu fulani nikujulishe kuna watu wanaweza kukufuta wakukopeshe au wakupe gari ili uwape pesa ( mkopo ) wengi wao ni matapeli wanakupa gari ukimpa pesa anaenda kushitaki kwamba gari yake imeibiwa Kasheshe utajaza wewe mwenyewe
Ziko ila kuna kitu fulani nikujulishe kuna watu wanaweza kukufuta wakukopeshe au wakupe gari ili uwape pesa ( mkopo ) wengi wao ni matapeli wanakupa gari ukimpa pesa anaenda kushitaki kwamba gari yake imeibiwa Kasheshe utajaza wewe mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.