Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
- Thread starter
- #81
Hapo mie ndio pananikera. hawa jamaa wanajiona wao ni kama Miungu fulani hivi, hawajui udaktari ni kazi kama nyingine kama polisi, mwanajeshi, wahasibu, walimu nk. si waondoke tuu wenzao watakuja kupiga kazi. malalamiko kuhusu wao kusoma masomo magumu hiyo siyo tija walichagua wenyewe, kwa nini wasisomee accounts masomo rahisi ili nao wawe na mihela. mbona kozi ya kusomea hali ya hewa ni ngumu sana na hawalalamiki, ma engineer? achitekchas, wategua ,mabomu????Madakatari wa Tanzania kwani kulikuwa hakuna njia ingine ya kuigomea serikali iwasikiliza madai yao kuliko kutumia mbinu za kigaidi watu wasiokuwa na hatia wapoteze maisha ili maslahi yao yatimizwe.
Kisa wao ni watu wenye akili sana kuzidi wengine.