Hivi Choo cha Kike kikoje

But mahome wengi wetu tunatumia choo cha aina moja, kwa wanawake na wanaume, hatufanyi mbwembwe kama vyoo vya Biashara
 
Kisarure:

Huo ni msemo tu, kuwakilisha ujumbe ufike kwa mlengwa na autambue vilivyo huku akijumlisha mambo yote yanayofanana na wanawake, haina maana yoyote kwamba kuna choo maalumu cha kike. hayo ni maoni yangu binafsi na ni uelewa wangu pekee.
 
Hapa bila kuwa na Konyagi tatu ndogo kichwani mkojo hautoki!
urinal.JPG

Huyu anaweza kuunganisha na kubwa hapo hapo
 
Kisarure:

Huo ni msemo tu, kuwakilisha ujumbe ufike kwa mlengwa na autambue vilivyo huku akijumlisha mambo yote yanayofanana na wanawake, haina maana yoyote kwamba kuna choo maalumu cha kike. hayo ni maoni yangu binafsi na ni uelewa wangu pekee.

Ushauri wa bure, si upunguze urefu wa username yako?
Kwangu limejaa kupitiliza screen! Nikafikiri litatokea nyuma ya simu yangu!
 
Mimi mwenyewe hii ni puzzle kwangu na sijabahatika kuona hadi umri huu.
Huwa najiuliza hasa vyoo vya public vya wanawake vinafananaje, hasa kwa kuzingatia maumbile yao na mikao yao...huh!
Cha kutisha zaidi ni pale ninaposikia msemo "Umeingia choo cha kike" hii inashuhudia kuwa kina sintofahamu kubwa.

Aisee PJ, kama ukuwepo kweny mawazo yangu ndo maana hata nikauliza, maana duH!
 
Ina maana wewe tangu uzaliwe kwenye familia yako hujawahi kuwa na wanawake ambao mnashare vyoo au mabafu.
Kuna watu mnaulizaga vitu kama mna utindio wa ubongo...

Hapana Kiziza,

Kwa hom sawa, ss hii misemo mingine kuwa uneingia choo cha kike ndo kikanifanya niulize hii kitu, kwani nijuamvyo mm hakina tofauti, lakin kwa nn watu waseme uneingia choo cha kikee!? je kuna tofautii?
 
Siku M1 nikuwa pale Fesh restaurant Moshi mjini, baada ya kusiliba supu langu nikaenda msalani, nikaingia chumba kimojawapo, Nilicho shangaa siku ona Urinals kama nilizozoea, nikajua ni kama cha HOME, nikaingia nikamaliza shida yangu, wakati natoka... mama yangu kuna mshale unsema Akina mama!! nikaenda zangu nikijichekea mwenyewe! Bahati sikukutana na mtu wala chooni hakukuwa na mtu!

Jana jioni wakati napata msosi mahali, nikawasikia akina mama wanapiga stori, mmja akamwambia mwenzake "... basi shosti si leo nikaingia choo cha kiumee! kuingia tu nikakuta watu wamepangana wanaangalia ukutani....nikajiuliza eee Hawa vipii leo? kumbe ni wanaume...! wacha nikimbie bahati hawajaniona!"

Nikapata wazo hili kuwa kwa vyoo vya kike public kwa Nchi zinazoendelea kama hapa Bongo, mwanamke ni rahisi kujua kama ameingia wrong room! lakin kwa akina baba tuna hatari ya kuasume kuwa urinals hazikuwekwa labda jamaa kafulia, tunamaliza shughuli tunasepa!

sasa Huu msemo kwanini ulikuja.. na kama nijuavyo misemo inakuja na clear tone ya ujumbe kujaribu kulandanisha a kitu fulani! (fasihi) mfano.. Aisee watu ni wengi kama sisimizi.. kueleza kuwa watu ni wengi mno! sasas hii ya kuingia choo cha kike ni vipii!!? kuna features ambazo hatuzijui!?
 
Mimi mwenyewe hii ni puzzle kwangu na sijabahatika kuona hadi umri huu.
Huwa najiuliza hasa vyoo vya public vya wanawake vinafananaje, hasa kwa kuzingatia maumbile yao na mikao yao...huh!
Cha kutisha zaidi ni pale ninaposikia msemo "Umeingia choo cha kike" hii inashuhudia kuwa kina sintofahamu kubwa.

Huo msemo umeingia choo cha kike nilipewa juzi ina maana tofauti na unavofikiria wewe
 
kisarure:

Huo ni msemo tu, kuwakilisha ujumbe ufike kwa mlengwa na autambue vilivyo huku akijumlisha mambo yote yanayofanana na wanawake, haina maana yoyote kwamba kuna choo maalumu cha kike. Hayo ni maoni yangu binafsi na ni uelewa wangu pekee.
na wakati mwinginewatu humaanisha kwamba umefanya kosa kubwa au umefanya jambo isivyo kawaida kwani katika hali ya kawaida mwanaume ukiingia kwenye choo cha kike unaweza kuchukuliwa ndivyo sivyo na wakati mwingine ukaonekana mbakaji kabisa.
 
Back
Top Bottom