Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
- Thread starter
- #21
Wakubwa sijui ni kwa nini nashambuliwa,Mimi nimeuliza.Sasa nilitarajia wenye majibu ya hilo watoe lakini nilichopata yangu macho.
Kuna madai mengine-Eti Chadema hawana Baraza la wazee,Kwamba mshauri wa chama ni Mtei pekee ambaye anadaiwa kuoza mtoto wake kwa Mbowe.Haya nayo majungu
twende sasa
Kuna madai mengine-Eti Chadema hawana Baraza la wazee,Kwamba mshauri wa chama ni Mtei pekee ambaye anadaiwa kuoza mtoto wake kwa Mbowe.Haya nayo majungu
twende sasa