Elections 2010 Hivi CHADEMA yupo SLAA na MBOWE tu?

jana nilipokuwa nikisoma gazeti la mwananchi na kukuta makala inayozungumzia mikakati ya chama cha CUF katika uchaguzi huu unaokuja.

katika jambo lililonishangaza ni maneno ya Prof Lipumba kuelezea ni kwa nini upinzani usismamishe mgombea mmoja au yeye kumuunga mkono Dr slaa.

alieleza kwa ufasaha kabisa kuwa ilionekana kuwa vyama vyote vya upinzani vilikusudia kutosimamisha wagombea, kwa maana Mzee MRema alionesha mapema kuwa chama chake kinamuunga mkono mheshimiwa Kikwete na yeye binafsi kutangaza kuwa atawania Ubunge jimbo la vunjo. wakati huo huo mheshimiwa Wa WAPUKI(Mbowe) akitangaza kugombea ubunge kwao huko. na Cheyo hali kadhalika.

sasa wao wakasema haiwezekani JK apite hivi hivi bila ya kugombea na hivyo akatangaza nia mapema tu. ila la kushangaza baada ya kutangaza na kujipanga ndipo akina DR Slaa na wengine wakajitokeza sasa anasema imechelewa sana kujipanga kwa hili.

ila kuhusu ubunge na udiwani wanasema wanaendelea na mazungumzo.


kwa haraka haraka inaonekana CHADEMA ni wabinafsi na wanajiona kuwa wao peke yao wanakubalika na hawahitaji ushirikiano na vyama vyengine.

hawa ndio CHADEMA na rangi zao

Wapinzani wa CCM hapa Tanzania wanaonekana wamechoka sana; suala kama hili pia lilitokea mwaka 1995. Mie kwa baadhi ya vyama kujiona kuwa wao ni "bab-kubwa" naona sawa ili CCM TUSHINDE KWA KISHINDO HAPO OCTOBA 31 2010. Bila kusahau methali isemayo: VITA VYA PANZI ....
 
Mtani umepotea sana, umeng'ang'aniwa visiwani nn?
Mtani, nipo ila shughuli nyingi. Zaidi naendelea kujua maana ya kutumwa, kulipwa, walewale, na kebehi nyingine mara mjumbe anapokuwa na mtazamo tofauti hapa kitaa.
 
Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa Chadema walitamka watamuunga mkono mgombea wa CUF huko zenji.

Usiahau oia kuwa mwaka 2002 ni CHADEMA hao hao walimuunga mkono Lipumba. Sasa hapa sikui mbinafsi ni nani ambaye ameshaeahi kumwachia mwenzie au huyo anayeng'ng'ania kila uchaguzi.
 
Kitu kinachonishangaza zaidi ni hii popularity aliyopata Slaa. Ndani ya muda mfupi tu. Hivi najiuliza hivi hizi nyaraka halisi anazipata wapi? Jibu la haraka ni kuwa kuna watu kwenye system wanazinyofoa na kumpa. They are doing well kuumbua ujinga serikalini. Lakini kwa nini apewe Slaa tu na si mtu mwengine yeyote? Mfano labda zito, Hamad etc. (kama ni wabunge wa upinzani bwana wako wengi tu?) kwa nini zote amepewa Slaa, na ni kwa malengo yapi? Bila shaka kuna usiri mkubwa sana hapa. Mimi siishabikii CCM, lakini naona slaa ni mtu wa kuogopwa kama ukoma. Lazima kuna maslahi binafsi ya kikundi fulani. Ndo maana hata kuna baadhi ya jamii hapa nchini zimeshatoa dukuduku lao. I'm sure he will never win. Period. Labda hapa JF tu.
Simchukii Slaa kihivyo, lakini kinachogomba hapa ni mazingira yaliyomzunguka, siyo yale ya uhalisia, na ukiona hata baadhi ya supporter wake mitaani njisi yanavyojichanganya unaelewa kabisa kwamba hapa kuna kitu si hivi tu. big YES! there is something.
So, We do not want to risk.
Kwa wale ambao hamjui undani wa ugombea wa huyu Mheshimiwa nashauri msishabikie tu kitu msichokijua. Fanyeni uchunguzi kwanza. Parhaps this gonna be an act of political tragedy which may threaten our national unity.
Message sent
Watu wanataka vyama viungane ili iweje? Je sera zinafanana? Kenya waliongana lakini je vilidumu? Hatujifunzi kwa wenzetu? Kama lengu ni kumondoa tu madarakani JK basi haina maana ya vyama hivyo kuungana, na ilishawhi semaga humu JF ndugu Mzee Mwanakijiji.
 
Kitu kinachonishangaza zaidi ni hii popularity aliyopata Slaa. Ndani ya muda mfupi tu. Hivi najiuliza hivi hizi nyaraka halisi anazipata wapi? Jibu la haraka ni kuwa kuna watu kwenye system wanazinyofoa na kumpa. They are doing well kuumbua ujinga serikalini. Lakini kwa nini apewe Slaa tu na si mtu mwengine yeyote? Mfano labda zito, Hamad etc. (kama ni wabunge wa upinzani bwana wako wengi tu?) kwa nini zote amepewa Slaa, na ni kwa malengo yapi? Bila shaka kuna usiri mkubwa sana hapa. Mimi siishabikii CCM, lakini naona slaa ni mtu wa kuogopwa kama ukoma. Lazima kuna maslahi binafsi ya kikundi fulani. Ndo maana hata kuna baadhi ya jamii hapa nchini zimeshatoa dukuduku lao. I'm sure he will never win. Period. Labda hapa JF tu.
Simchukii Slaa kihivyo, lakini kinachogomba hapa ni mazingira yaliyomzunguka, siyo yale ya uhalisia, na ukiona hata baadhi ya supporter wake mitaani njisi yanavyojichanganya unaelewa kabisa kwamba hapa kuna kitu si hivi tu. big YES! there is something.
So, We do not want to risk.
Kwa wale ambao hamjui undani wa ugombea wa huyu Mheshimiwa nashauri msishabikie tu kitu msichokijua. Fanyeni uchunguzi kwanza. Parhaps this gonna be an act of political tragedy which may threaten our national unity.
Message sent
Watu wanataka vyama viungane ili iweje? Je sera zinafanana? Kenya waliongana lakini je vilidumu? Hatujifunzi kwa wenzetu? Kama lengu ni kumondoa tu madarakani JK basi haina maana ya vyama hivyo kuungana, na ilishawhi semaga humu JF ndugu Mzee Mwanakijiji.
Kwa ufahamu wangu mdogo, ni kwamba ili uweze kuwa Rais wa Tanzania ni lazima system ya usalama wa taifa iwe imekukubali kwamba una sifa za kuwa Rais. Kama system haijakubaliana na wewe ndo yatabaki kuwa mambo kama ya akina Bilali, Seif and the likes. Kama intelligent system hiyohiyo ilimwamini Dr Slaa kuliko wabunge wengine wote wa upinzani na kuamua kumpa nyaraka mhimu za serikali, ni wazi kwamba imeridhishwa na uwezo wake wa kiuongozi na kutetea nchi. Na huo ni ushahidi mwingine kwamba itafanya iwezalo kumuweka Dr. Slaa madarakani. Dalili zinaonekana na ushahidi ni mwingi kwamba Dr Slaa ana support ya intelligence, hata JK analijua hilo. Kama wewe peke yako ndo una apa kwamba hatakuwa Rais basi utakula jeuri yako hapo atakapokuwa anaapishwa kuwa Rais wa nchi.
 
Wapinzani wa CCM hapa Tanzania wanaonekana wamechoka sana; suala kama hili pia lilitokea mwaka 1995. Mie kwa baadhi ya vyama kujiona kuwa wao ni "bab-kubwa" naona sawa ili CCM TUSHINDE KWA KISHINDO HAPO OCTOBA 31 2010. Bila kusahau methali isemayo: VITA VYA PANZI ....

Hahaa mchungaji, naona umeamua kuchunga mafisadi (mbwa mwitu wanaokula kondoo) kuliko kondoo wenyewe! Ninautilia shaka uchungaji wako kama huna hata uwezo wa kuona shida wanazozipata wagonjwa hospitalini, na umaskini unaoziandama familia kibao nchini ambao chanzo chake ni CCM. Kwa kweli hapo sina uhakika na uchungaji wako, si ajabu ndo wale wachungaji wala kondoo.
 
Hapo ndipo watu wanapo kosea. Siasa ni mchezo wa ushindani na hamna anaye muachia mwenzake kwa sababu tu ndiyo ana onekana kuwa na nafasi kubwa za kushinda. Ngoja nitoe mfano wa michezo kwa sababu Watanzania wote tuna weza kurelate na michezo. Kwenye soka Tanzania timu zinazo tarajiwa kushinda siku zote ni Simba na Yanga. Je kuna siku yoyote timu zingine zilisema zisi shiriki kwa sababu watu wana tarajia fulani ashinde? Wangefanya hivyo ingekuaje?

On the other hand pia Lipumba kaonyesha political immaturity kwa kudhani kila chama kinaendeshwa kama CUF. Tanzania hamna sheria inayo sema mwenyekiti ndiyo agombee uraisi. Iweje leo adhani kwamba vyama vingine havita simamisha wagombea wa uraisi kwa sababu tu wenyeviti wao walionyesha nia ya kuto kugombea?

Kwa hiyo kwa upande mmoja sielewi watu ambao wali tarajia CUF wasi simamisha mgombea eti tu kwa sababu Dr. Slaa ndiye anaye pewa nafasi kubwa ya kushinda. Kwa sababu 1995 Mrema ambae ndiyo alikua mpinzani maarufu zaidi hakupishwa na 2000 ambapo Lipumba ndiye alikua mshindani mkuu wa Mkapa hakupishwa. Iweje leo tuongelee kuachiana? na kwa upande mwingine pia Lipumba kaonyesha kuto kuona hali ya mabadiliko kwa kuona mwenyekiti tu ndiyo ana stahili kugombea uraisi.
 
jana nilipokuwa nikisoma gazeti la mwananchi na kukuta makala inayozungumzia mikakati ya chama cha CUF katika uchaguzi huu unaokuja.

katika jambo lililonishangaza ni maneno ya Prof Lipumba kuelezea ni kwa nini upinzani usismamishe mgombea mmoja au yeye kumuunga mkono Dr slaa.

alieleza kwa ufasaha kabisa kuwa ilionekana kuwa vyama vyote vya upinzani vilikusudia kutosimamisha wagombea, kwa maana Mzee MRema alionesha mapema kuwa chama chake kinamuunga mkono mheshimiwa Kikwete na yeye binafsi kutangaza kuwa atawania Ubunge jimbo la vunjo. wakati huo huo mheshimiwa Wa WAPUKI(Mbowe) akitangaza kugombea ubunge kwao huko. na Cheyo hali kadhalika.

sasa wao wakasema haiwezekani JK apite hivi hivi bila ya kugombea na hivyo akatangaza nia mapema tu. ila la kushangaza baada ya kutangaza na kujipanga ndipo akina DR Slaa na wengine wakajitokeza sasa anasema imechelewa sana kujipanga kwa hili.

ila kuhusu ubunge na udiwani wanasema wanaendelea na mazungumzo.


kwa haraka haraka inaonekana CHADEMA ni wabinafsi na wanajiona kuwa wao peke yao wanakubalika na hawahitaji ushirikiano na vyama vyengine.

hawa ndio CHADEMA na rangi zao

Kimsingi Lipumba ndio Mbinafsi ila anatafuta tu Justification,ukiangalia kati ya Lipumba na Dr. Slaa,nani anakubalika sana Bara?
Lipumba angukubali a step down,then Hamad Rashid angekuwa Mgombea Mwenza mambo yangekuwa poa,ila Proff ni Mbinafsi,ni mdini na an wivu pia,kauli zake hazina mashiko kabisa na zinatia kinyaa
 
Back
Top Bottom