Niliwahi kuona wazo la Mwanajamii mmoja akiwashauri CDM kuwa na kituo chake cha TV, hii ingesaidia kuondokana na kutegemea vituo vinavyowabania baadhi ya wanasiasa. Kwa mfano Mh. Wenje kaamua kufanyakazi actually inayotakiwa kufanywa na serikali kwa kusaidia madawati 100 cha ajabu taarifa inatoka picha ya Wenje inaonekana kwa sekunde na si ajabu aliyerusha akatakiwa kutoa maelezo kwa nini alirusha habari hiyo. Kuondokana na mrusha taarifa wasije wakamhandolize au mtidolize ni bora tuwe na CHADEMA TV.