Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Kukanusha kuwa Chadema sio Chama cha Kifamilia na Kikabila lazima Uwe Kichaa!
Kukanusha kuwa Chadema sio Chama cha Kifamilia na Kikabila lazima Uwe Kichaa!
1.Mbowe na Mnyika ni mtu na mpwa wake
..... nimeanzisha tu..... endeleeni kuleta na wengine ...... wako wengi na watu mnawafahamu.
Makongoro Nyerere,mtoto Wa kawawa, mtoto wa Sokoine, Karume, Riziwani,na wengineo wengi
umechoka ccm A ukaenda ccm B,mule mule tukila mtu anajua CCM ni chama cha kifamilia...kuanzia Nyerere mpaka huko visiwani
swali langu je, CHADEMA nao upuuzi huu wanao au wao wako beyond politics za kifamilia kama CCM?
kama hawana itatia moyo kujua kama kweli hiki ni chama mbadala
wengine tushachoka na CCM na mambo yao ya kukifanya chama kifamilia familia tuuu
I hope jedwari la CHADEMA liko empty na diverse kuliko la CCM
Nawasilisha
kila mtu anajua CCM ni chama cha kifamilia...kuanzia Nyerere mpaka huko visiwani
swali langu je, CHADEMA nao upuuzi huu wanao au wao wako beyond politics za kifamilia kama CCM?
kama hawana itatia moyo kujua kama kweli hiki ni chama mbadala
wengine tushachoka na CCM na mambo yao ya kukifanya chama kifamilia familia tuuu
I hope jedwari la CHADEMA liko empty na diverse kuliko la CCM
Nawasilisha
Makongoro Nyerere,mtoto Wa kawawa, mtoto wa Sokoine, Karume, Riziwani,na wengineo wengi