toby ziegler
Senior Member
- Aug 20, 2011
- 105
- 57
kila mtu anajua CCM ni chama cha kifamilia...kuanzia Nyerere mpaka huko visiwani
swali langu je, CHADEMA nao upuuzi huu wanao au wao wako beyond politics za kifamilia kama CCM?
kama hawana itatia moyo kujua kama kweli hiki ni chama mbadala
wengine tushachoka na CCM na mambo yao ya kukifanya chama kifamilia familia tuuu
I hope jedwari la CHADEMA liko empty na diverse kuliko la CCM
Nawasilisha
swali langu je, CHADEMA nao upuuzi huu wanao au wao wako beyond politics za kifamilia kama CCM?
kama hawana itatia moyo kujua kama kweli hiki ni chama mbadala
wengine tushachoka na CCM na mambo yao ya kukifanya chama kifamilia familia tuuu
I hope jedwari la CHADEMA liko empty na diverse kuliko la CCM
Nawasilisha