Kwa kawaida ruzuku hugawanywa kulingana na idadi ya wabunge kwenye chama husika,hii inanipa shida maana kushinda kwa nassari nilidhani ccm katika hesabu za ruzuku itapungua maana itakuwa imepoteza mmoja na kuongezeka chadema.Lakini cha kushangaza kumbe raisi ana ruhusiwa kuteuwa wabunge kumi,na jusi zateuwa wanne ,watatu ccm mmoja nccr inamaana wakigawa ruzuku kwa idadi ya wabunge katika chama bado ccm itakuwa mbali huu utaratibu ubadilike