Nasema hivi kwa sababu uhalifu unaofanyika, unafanyika chini ya Serikali wanayoiongoza ambayo imeshindwa kuwachukulia hatua wahalifu hasa pale wanapokuwa wanachama wa ccm. Wananchi wa leo siyo wa miaka ile, tunazo kumbukumbu za matukio mengi ya aina hiyo. Nawasilisha.