Kutokana na Maandamano yanayoendelea sasa inaonekana dhahiri ya kwamba Chadema wanamvuto.Ni chama kinachopendwa na wanachi.Nov 2010 uchaguzi ulifanyika.Kuna malalamiko mengi kuwa CCM wamechakakua.
Kila chama kilikuwa na msimamizi katiko vituo vya kupigia kura...Je nini kilitokea?Je wasimamizi wa vyama vingine mfano Chadema waliruhusu Uchakachuliwaji utokee?au ni mbinu gani amabazo zilifanyika ?
Kwa wale wanaofahamu mbinu zilizotumika naomba waweke wazi...
Kila chama kilikuwa na msimamizi katiko vituo vya kupigia kura...Je nini kilitokea?Je wasimamizi wa vyama vingine mfano Chadema waliruhusu Uchakachuliwaji utokee?au ni mbinu gani amabazo zilifanyika ?
Kwa wale wanaofahamu mbinu zilizotumika naomba waweke wazi...