Wadau wenzangu binafsi naona hizi ni Sifa ua Tabia za hivi Vyama vya Siasa (CCM, CHADEMA)
CCM
1. Waheshimiwa wabunge wao wanapenda kutukana watu
2. Sera za Chama ni Matusi
3. Viraza wengi
4. Hawaogopi kusema uongo mf. Wasira kusema Slaa aliiba fedha akiwa Kasisi
5. Wanalala bungeni
6. Hawako kwa ajili ya Wananchi
7. Wako tayari kuua
8. Wanaamini nguvu za giza badala za MUNGU
9. Wanaamini uchawi utawasadia hata kushinda chaguzi
10. Wengi ni Watu wazima
11. Hawawezi kufikiria zaidi (wana ukomo wa kuwaza na Kufikiria)
Hizo ni baadhi za chama CCM
CHADEMA
1. Chama cha Maendeleo
2. Wasomi wengi
3. Hata ambao sio wasomi lakini Wana AKILI na Wana uwezo Kupambanua mambo
4. Wana Uwezo wa KUFIKIRI sana
5. Wanapenda kutetea Wanyonge
6. Nguvu ya Umma
7. Viongozi wao wako mstari wa mbele kutetea maslahi ya Wananchi mfano:- Wabunge wa Mwanza waliopigwa mapanga
8. Sio Viraza
9. Sera zao ni Nzuri
10. Team Work
11. .....
Na nyingine tu........
CCM
1. Waheshimiwa wabunge wao wanapenda kutukana watu
2. Sera za Chama ni Matusi
3. Viraza wengi
4. Hawaogopi kusema uongo mf. Wasira kusema Slaa aliiba fedha akiwa Kasisi
5. Wanalala bungeni
6. Hawako kwa ajili ya Wananchi
7. Wako tayari kuua
8. Wanaamini nguvu za giza badala za MUNGU
9. Wanaamini uchawi utawasadia hata kushinda chaguzi
10. Wengi ni Watu wazima
11. Hawawezi kufikiria zaidi (wana ukomo wa kuwaza na Kufikiria)
Hizo ni baadhi za chama CCM
CHADEMA
1. Chama cha Maendeleo
2. Wasomi wengi
3. Hata ambao sio wasomi lakini Wana AKILI na Wana uwezo Kupambanua mambo
4. Wana Uwezo wa KUFIKIRI sana
5. Wanapenda kutetea Wanyonge
6. Nguvu ya Umma
7. Viongozi wao wako mstari wa mbele kutetea maslahi ya Wananchi mfano:- Wabunge wa Mwanza waliopigwa mapanga
8. Sio Viraza
9. Sera zao ni Nzuri
10. Team Work
11. .....
Na nyingine tu........