HIVI (CCM,CHADEMA) ndi wako hivi...?

UTAJUA

Member
Apr 4, 2012
68
17
Wadau wenzangu binafsi naona hizi ni Sifa ua Tabia za hivi Vyama vya Siasa (CCM, CHADEMA)

CCM
1. Waheshimiwa wabunge wao wanapenda kutukana watu
2. Sera za Chama ni Matusi
3. Viraza wengi
4. Hawaogopi kusema uongo mf. Wasira kusema Slaa aliiba fedha akiwa Kasisi
5. Wanalala bungeni
6. Hawako kwa ajili ya Wananchi
7. Wako tayari kuua
8. Wanaamini nguvu za giza badala za MUNGU
9. Wanaamini uchawi utawasadia hata kushinda chaguzi
10. Wengi ni Watu wazima
11. Hawawezi kufikiria zaidi (wana ukomo wa kuwaza na Kufikiria)

Hizo ni baadhi za chama CCM

CHADEMA
1. Chama cha Maendeleo
2. Wasomi wengi
3. Hata ambao sio wasomi lakini Wana AKILI na Wana uwezo Kupambanua mambo
4. Wana Uwezo wa KUFIKIRI sana
5. Wanapenda kutetea Wanyonge
6. Nguvu ya Umma
7. Viongozi wao wako mstari wa mbele kutetea maslahi ya Wananchi mfano:- Wabunge wa Mwanza waliopigwa mapanga
8. Sio Viraza
9. Sera zao ni Nzuri
10. Team Work
11. .....

Na nyingine tu........
 
Ukileta maunjanja unaambiwa ww c raia mf jeneral ulimwengu.Bashe tena nashangaa anazidi kujipendekeza Chichiem
 
Wadau wenzangu binafsi naona hizi ni Sifa ua Tabia za hivi Vyama vya Siasa (CCM, CHADEMA)

CCM
1. Waheshimiwa wabunge wao wanapenda kutukana watu
2. Sera za Chama ni Matusi
3. Viraza wengi
4. Hawaogopi kusema uongo mf. Wasira kusema Slaa aliiba fedha akiwa Kasisi
5. Wanalala bungeni
6. Hawako kwa ajili ya Wananchi
7. Wako tayari kuua
8. Wanaamini nguvu za giza badala za MUNGU
9. Wanaamini uchawi utawasadia hata kushinda chaguzi
10. Wengi ni Watu wazima
11. Hawawezi kufikiria zaidi (wana ukomo wa kuwaza na Kufikiria)

Hizo ni baadhi za chama CCM

CHADEMA
1. Chama cha Maendeleo
2. Wasomi wengi
3. Hata ambao sio wasomi lakini Wana AKILI na Wana uwezo Kupambanua mambo
4. Wana Uwezo wa KUFIKIRI sana
5. Wanapenda kutetea Wanyonge
6. Nguvu ya Umma what?????
7. Viongozi wao wako mstari wa mbele kutetea maslahi ya Wananchi mfano:- Wabunge wa Mwanza waliopigwa mapanga
8. Sio Viraza
9. Sera zao ni Nzuri
10. Team Work
11. .....

Na nyingine tu........

Are you realy great thinker? kama unatoka usingizini hivi. Toa evidence kwa hayo uliyoyasema. Kuua, uchawi na nguvu za giza? unaweza kujikuta unaabudu miungu sababu ya siasa. Tumia vizuri elimu ulioipata katika kuchanganua mambo na kuonekana unamchango fulani katika jamii inayokuzunguka. Utasemaje wanatukana wakati tayari na wewe unapiga mbizi humo humo katika post zako? Viraza, kumwita mwenzako mchawi bila evidence, I think all these are abusive words
 
Are you realy great thinker? kama unatoka usingizini hivi. Toa evidence kwa hayo uliyoyasema. Kuua, uchawi na nguvu za giza? unaweza kujikuta unaabudu miungu sababu ya siasa. Tumia vizuri elimu ulioipata katika kuchanganua mambo na kuonekana unamchango fulani katika jamii inayokuzunguka. Utasemaje wanatukana wakati tayari na wewe unapiga mbizi humo humo katika post zako? Viraza, kumwita mwenzako mchawi bila evidence, I think all these are abusive words


Ushahidi huu hapa:

1.Profesa Maji Marefu ambaye ni mbunge wa CCM ni mganga anayejulikana wazi kwa ujuzi wake wa kukamata watu uchawi na kuagu watu. Huyu ni profesa wa mambo ya giza na uchawi na yeye anafanya kazi zake hizo hadharani bila kificho.

2. Marehemu Sheikh Y***** Alikuwa akimpa ulinzi wa majini mwenyekiti wa CCM. Yote haya ni katika kudhihirisha kuwa CCM ni wachawi na walozi kuanzia mjumbe wa nyumba kumi hadi Mwenyekiti wa chama Taifa.

Ni hayo tu kwa leo
 
Ushahidi huu hapa:

1.Profesa Maji Marefu ambaye ni mbunge wa CCM ni mganga anayejulikana wazi kwa ujuzi wake wa kukamata watu uchawi na kuagu watu. Huyu ni profesa wa mambo ya giza na uchawi na yeye anafanya kazi zake hizo hadharani bila kificho.

2. Marehemu Sheikh Y***** Alikuwa akimpa ulinzi wa majini mwenyekiti wa CCM. Yote haya ni katika kudhihirisha kuwa CCM ni wachawi na walozi kuanzia mjumbe wa nyumba kumi hadi Mwenyekiti wa chama Taifa.

Ni hayo tu kwa leo

Aliyekuwa anabisha yuko wapi sasa? Kama anapinga chadema si chama cha maendeleo aende arumeru, ahadi zimeanza kutekelezwa.
 
Back
Top Bottom