hivi bundle za internet zinakuaje?

Natumai naye si mtumiaji wa kihivyo, la sivyo asingeilalamikia bundle. Walisema ikija fibre optic gharama zitakuwa chini, wala hatuoni kupungua kokote. Au hiyo fibre optic cable bado haijaunganiswa?

huu mkongo wa taifa sijui uko wapi sasa hivi nasikia udsm upo wanautumia ila chuo kikifunguliwa tu inazidiwa inakuwa slow sana..
mambo ya internet mi nadhani bado sana kwa bongo labda baadaebaadae huko itakuwa poa..
 
huu mkongo wa taifa sijui uko wapi sasa hivi nasikia udsm upo wanautumia ila chuo kikifunguliwa tu inazidiwa inakuwa slow sana..
mambo ya internet mi nadhani bado sana kwa bongo labda baadaebaadae huko itakuwa poa..

Kwa sasa nipo Chuo fulani huku kaskazini, huo ulifika hapa mwezi May(kama sikosei), baada ya kuunganisha wireless network ya hapa chuoni kiukweli ilikuwa na speed nzuri sana. Baada ya muda ikaanza kushuka kwa kasi ya ajabu. Kwa sasa hapa kufungua page tu inaload hata dakika mbili hadi tano. Kiukweli imekuwa sio ya kutegemea kabisa, wengi tunatumia modems. Kwa hapa chuoni inasemekana watu wa IT wamelimit speed ili kuzuia watu kudownload, so sina hakika kama ni kweli au ndio fibre yenyewe. Itoshe tu kusema kwamba kwa hapa bongo still we have a long way to go.
 
Back
Top Bottom