Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Kwanini huo ufahari uwe kwa mwanaume tu?kwanini na wanaume nao walikuwa hawakaguliwi kama hajawahi kukutana na wanawake?huoni kama huo ulikuwa ni mfumo dume?
Utamkagua vipi mwanaume?
Kwanini huo ufahari uwe kwa mwanaume tu?kwanini na wanaume nao walikuwa hawakaguliwi kama hajawahi kukutana na wanawake?huoni kama huo ulikuwa ni mfumo dume?
Utamkagua vipi mwanaume?
Bikira Bikira ..ingekuwa mkiikuta hamuwatendi wenza wenu ...
kuna mama mmoja analia huku oooh jamani mme wangu ndo kanitoa usichana wangu leo anathubutu kusema sifai na kuniletea small house eeh yethu na maria
mmh!
Bikira Bikira ..ingekuwa mkiikuta hamuwatendi wenza wenu ...
kuna mama mmoja analia huku oooh jamani mme wangu ndo kanitoa usichana wangu leo anathubutu kusema sifai na kuniletea small house eeh yethu na maria
mmh!
Kama tuliweza kubuni kwamba ni lazima shuka jeupe litandikwe ili kungalia damu naamini hakuna linaloshindikana chini ya jua kama tukiamua kujishughulisha ili kutafuata njia ya kujua mwanaume ambaye hajamjua bado mwanamke hilo litawezekana ndugu yangu.
This may require a real stretch of imagination. Hebu jiulize ilitokeaje wahenga walioweza kuja na mila zinazoshabihiana duniani kote kuhusu mahusiano ya mke/mume bila kukutana walishindwaje na hili hadi leo hakuna jamii yenye tekniki hiyo. Labda tuwasikilize madaktari kama sayansi inaweza toa jibu.
Humu ndani ya JF, kuna yeyote ambaye amewahi kuoa bikira. Kama ndiyo, tumegee faida zake.
Ubikira kwa mwanamke huweka kumbukumbu imara kwa mume wake daima. Na hivyo, hata akimwegwa nje, provided other things are okay, hawezi kumfuta mumewe akilini mwake. Ndio maana inakuwa vigumu kuamini kuwa mwanamke anaweza kustop completely an affair na fisrt lover, provided hawakugombana kiasi cha kutosuluhishwa, na hata hivyo ni rahisi sana kumsamehe akijitokeza kuomba radhi kwa kile alichokosea. Naamini kuwa mwanamke anaweza kuachana na wanaume wote daima, isipokuwa wawili tu; yaani aliyemuondolea ubikira na yule aliyepata kuzaa naye. Anaweza kuachana nao, lakini lazima atapoteza ujasiri mbele yao. Hivyo, ubikira hulinda ndoa na kufanya kuwa imara.
mimi siwapendi mabikra kwa sababu wanasumbua wakati wa kula tunda,napenda awe amemegwa kidogo..si unajua tena?ni heshima mkuu akuna anayependa kushare tunda basi tu maadili yamekufa
mimi siwapendi mabikra kwa sababu wanasumbua wakati wa kula tunda,napenda awe amemegwa kidogo..si unajua tena?