Hivi bado uumbaji unaendelea?

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,671
40,912
Baada ya Adam na hawa kuumbwa sijasikia tena wala kusoma kama uumbaji uliendelea kufanyika.sote baada ya hapo tumekua tukizaliwa tu!

Sijaona dunia ikijaa wala kusikia mbingu kujaa!

Nahisi watu wanaokufa na kuzaliwa tena no wale wale tu! Kama sio wale wale! Basi dunia ingejaa na mbingu pia, ila kwakua namba inayotoka no sawa na inayoingia basi dunia haitajaa milele!
 
Baada ya Adam na hawa kuumbwa sijasikia tena wala kusoma kama uumbaji uliendelea kufanyika.sote baada ya hapo tumekua tukizaliwa tu!

Sijaona dunia ikijaa wala kusikia mbingu kujaa!

Nahisi watu wanaokufa na kuzaliwa tena no wale wale tu! Kama sio wale wale! Basi dunia ingejaa na mbingu pia, ila kwakua namba inayotoka no sawa na inayoingia basi dunia haitajaa milele!

Mkuu wangu tunaongezeka,ukitaka kujua ebu jiulize miaka kumi nyuma eneo ulilotoka sasa likoje.Mfano mimi ninaishai Njiro miaka kumi iliyopita tulikuwa wachahche sana leo hata sehemu ya kutema mate hakuna.

Nadhani vita na magonjwa pengine vilichangia kupunguza idadi ya watu.Mfano vita kuu wa kwanza na yapili wanadamu wengi walikufa,magonjwa kama UKIMWI,Kifua kikuu,Ndui...

Nafiki ipo haja vita kuu ya tatu ya dunia itokee ili tupungue kidogo au magonjwa mapya yasiyokuwa na tiba yatokee ili tupungue labda kwa idadi ya watu bilion 5 watakaozaliwa labda watafurahia maisha lakini tukiachwa hivi hivi nakwambia miaka 50 au 100 dunia itazidiwa na idadi ya watu
 
Sio mpaka vita hata wazungu wanaweza kupunguza idadi ya watu kwa kupandikiza sumu kwa vyakula. mpango huo upo. NEW WOLD ODER (N W O).
 
Mkuu wangu tunaongezeka,ukitaka kujua ebu jiulize miaka kumi nyuma eneo ulilotoka sasa likoje.Mfano mimi ninaishai Njiro miaka kumi iliyopita tulikuwa wachahche sana leo hata sehemu ya kutema mate hakuna.

Nadhani vita na magonjwa pengine vilichangia kupunguza idadi ya watu.Mfano vita kuu wa kwanza na yapili wanadamu wengi walikufa,magonjwa kama UKIMWI,Kifua kikuu,Ndui...

Nafiki ipo haja vita kuu ya tatu ya dunia itokee ili tupungue kidogo au magonjwa mapya yasiyokuwa na tiba yatokee ili tupungue labda kwa idadi ya watu bilion 5 watakaozaliwa labda watafurahia maisha lakini tukiachwa hivi hivi nakwambia miaka 50 au 100 dunia itazidiwa na idadi ya watu
Ulichoelezea hapo ni uhamiaji wa watu tu katika sehemu moja! Bado mapori yamejaa na hakuna miji mipya zaidi ya hii tunayoifahamu!
 
Mkuu hata wewe tu ni zao la ongezeko kwenye hii dunia,Ukitoa umri wako tu wewe ni hamna kwenye familia yako.
 
Back
Top Bottom