sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Mwanamke hukumkuta bikira, mmekutana kila mtu ni mtaaluma. unaenda kwa mganga wa kienyeji kufanyia miziziology , anachukuliwa na jamaa guest wananatiana hadi jamii yooote wanajua na siku hizi picha kabakaba za simu na zinaenea ktk mitandao yooote,(hakuna siri) je ndo umemkomoa au umejikomoa, inakuwaje baada ya hapo......?