Hivi atakuwa ananipenda au msanii tu?

Kwanza kabisa wana JF,napenda kuwaarifu kwamba me ni member mpya kwenye hili jukwaa,naahidi tutashirikiana ktk kuchangia mada zile zitakazotumwa.Baada ya utangulizi huo,naomba kila mmoja kwa kutumia uelewa wake anieleze kile anachokifahamu juu ya kesi ifuatayo:-
Me ni kijana,miaka 22 kwa muda mrefu sasa nimetokea kumpenda msichana ambaye tulikuwa tukisoma wote kidato kimoja mpk tumetengana baada ya kufaulu na kila mmoja kusoma shule yake.Niliwahi kumtangazia nia, kwa mara ya kwanza alioverturn,kwa muda nikamtokea tena mara ya pili,mara kaniahidi nimsubiri kipindi cha mwezi 1 na nitegemee jibu zuri,kiukweli kwa miadi hiyo nilihisi kuwa hayuko tayari,hivyo sikumshitua tena wala na yy hajanigusia suala hilo ingawaje bado alionesha kunijali na kufurahia uwepo wangu.Ilifika kipindi fulani kama miezi 5 nyuma nikawa simuelewi kabisa,7bu kubwa ni kwamba kuna wakati anaonesha kujali wakati unafuata anaonesha kunipotezea amekuwa haeleweki,kumbe badaye nikagundua nilimuaproch akiwa ndani ya uhusiano,hivyo nikaamua kutodeal naye tena ila tu nilimuahidi kuwa nitaendelea kukaa naye kama mwanafunzi mwenzangu tu.Baada ya kauli hiyo wiki moja mbele nikaona mabadiliko kutoka kwake nikaanza kuona love message kwenye cm,nilimkataza asinitumie,nashukuru alitii amri ila hadi hivi sasa anaonesha kunijali,maana ninapomuhitaji kuongea naye hakatai,ninapomuagiza kitu ananitimizia yaani kiujumla amefanikiwa kuteka hisia zangu.Nataka nimfungulie ukurasa wa 3 ila nahofia kuwa mtumwa wa mapenzi,ila co siri nampenda na ninamuhitaji sana ila ndio hivyo simuelewi.Ahsanteni.

Anakupenda pia,just be frank to her.
 
Soma dogo,ucruhusu kuchanganykiwa na haya mambo,km wako atakuja 2 na kla aina ya wepec utakuwepo ili uwe nae.
ukiona mambo hayaelewek jua c wako huyo yupo mwingne wa ukweli anakusubiri,pga shule utengeneze heshma watajleta kbao.
 
Back
Top Bottom