BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kuna watu wengine unajiuliza hivi tamaa zao zinaisha lini jamani.
Huyu mheshimiwa sana ameshiriki mno kuimaliza ATCL na wenzake, mbaya zaidi ATCL aliondoka kwa aibu kubwa pale, akiwa na wenzake waka-lease ndege kutoka South Africa, mkataba ukaisha wakazirudisha South Afric.
Wakiwa wanajiandaa, wakadai kuna ndege kutoka Ireland nzuri zinamaliziwa kupakwa rangi ya AirTanzania.... Baada ya muda kumbe zile zile zilizochoka zikarudishwa South Africa wakazipeleka Ireland ili zitokee kule.
Ilikuwaje?
Wakati wanaandika mkataba wa ku-lease ndege, mmoja wa watanzania wenye uchungu na nchi hii akachomoa baadhi ya karatasi zikapelekwa kwa wenye shule... Kuanza kuchunguza moja ya registration ya zile ndege zilioandikwa zinakuja ni sawa na ile iliyorudishwa South Africa
...ilimchukua muda kuamini kilichotokea na kuanza kufukuza fukuza mpaka mwisho akaamua kuondoka!
Sasa, pengine wasiomjua kwa hili la kutaka kuuza kiwanja cha Gymkhana si jipya kwake... Anaangalia opportunity bila kujali maslahi...
Kwanza nakupongeza Malinzi kwa kushtuka na wenzako hili, kwa kweli watanzania wachache wanaoweza kutamka tumezungukwa.
Hili la Mufuruki kuleta wawekezaji ati akitaka kuwapa kiwanja wajenge Hotel sidhani hii nchi kama itaendelea kuwa na walafi hivi... kuna wakati unamwona mtu smart kwa nje kwa ndani hatari...
Mwisho, nawapongeza kwa kumwondoa kabisa kwenye maswla ya Gymkhana; naamini angewaharibia maisha yenu na watoto wenu
Huyu mheshimiwa sana ameshiriki mno kuimaliza ATCL na wenzake, mbaya zaidi ATCL aliondoka kwa aibu kubwa pale, akiwa na wenzake waka-lease ndege kutoka South Africa, mkataba ukaisha wakazirudisha South Afric.
Wakiwa wanajiandaa, wakadai kuna ndege kutoka Ireland nzuri zinamaliziwa kupakwa rangi ya AirTanzania.... Baada ya muda kumbe zile zile zilizochoka zikarudishwa South Africa wakazipeleka Ireland ili zitokee kule.
Ilikuwaje?
Wakati wanaandika mkataba wa ku-lease ndege, mmoja wa watanzania wenye uchungu na nchi hii akachomoa baadhi ya karatasi zikapelekwa kwa wenye shule... Kuanza kuchunguza moja ya registration ya zile ndege zilioandikwa zinakuja ni sawa na ile iliyorudishwa South Africa
...ilimchukua muda kuamini kilichotokea na kuanza kufukuza fukuza mpaka mwisho akaamua kuondoka!
Sasa, pengine wasiomjua kwa hili la kutaka kuuza kiwanja cha Gymkhana si jipya kwake... Anaangalia opportunity bila kujali maslahi...
Kwanza nakupongeza Malinzi kwa kushtuka na wenzako hili, kwa kweli watanzania wachache wanaoweza kutamka tumezungukwa.
Hili la Mufuruki kuleta wawekezaji ati akitaka kuwapa kiwanja wajenge Hotel sidhani hii nchi kama itaendelea kuwa na walafi hivi... kuna wakati unamwona mtu smart kwa nje kwa ndani hatari...
Mwisho, nawapongeza kwa kumwondoa kabisa kwenye maswla ya Gymkhana; naamini angewaharibia maisha yenu na watoto wenu