Mvua Ya Kiangaz
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 308
- 144
Mtaongea sana
Siasa ni kitu kimoja,uwezo na haiba ya mwanasiasa ni kitu kingine lakini ili uwe mwanasiasa mzuri ni lazima
uuvae uana siasa yaani uwe tayari hata kutabasamu ktk jambo ambalo unapaswa kukunja ndita[hypocricy] bila hilo hakuna siasa wala
mwanasiasa, Nape anatimiza siasa na uanasiasa.
"ROMA LOCUTA,CAUSA FINITA"