njoro
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 178
- 8
Tawi la Akiba bank la Moshi limekuwa na tabia ya kuwapendelea wanafunzi wa MUCCOBS kwa muda mrefu sasa,ofisi imeja graduates kutoka chuo hiki na hata kwenye upande wa field practical training wanafunzi kutoka vyuo vingine huwa wanaambiwa haturuhusu field students kumbe ni janja ya kuwapendelea students wa MUCCOBS. WanaJF nawasilisha