Baada ya kuona harakati kubwa iliofanyika Tunisia,Misri na sasa Algeria kuna swali najiuliza hivi sisi watu weusi wa Somalia,Zimbabwe na nchi zingine raia wetu hawataki mabadiliko ? hivi raia wa Somalia hawawezi kusema vita sasa basi ? Hivi Mugabe hawezi kuambiwa mzee ulitukomboa lakini sasa pumzika tunahitaji mtu mwingine mwenye mawazo tofauti ? Museveni hawezi kuambiwa mzee hebu pumzika aje mtu mwenye mawazo mapya ?