Hiv hawa the so called EWURA kazi yao nin hasa?

Yasser5

JF-Expert Member
Mar 15, 2012
207
17
Great thinke
Leo ni siku ya historia kwa Tanganyika +Zanzimbar utake usitake na ndo maana mmepumzika na hamjaenda kazini
TBC1 naona yupo Hassan na Hadija walio husika na kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzimbar enzi hizo. Nna maswari kidogo kwa wazazi wetu wa enzi hizo
1 .Nini ilikuwa falsafa ya kuunganisha udogo huo?
2.Nini historia ya nchi hizi kabla hazijaungana?
3. Ilikuwaje tanganyika tupoteza jina letu tanganyika na wazanzimbar wabakie na jina lao Tanzania
4.Nini ilikuwa falsafa ya muungano huu @@@@ Mwlaimu Nyerere +Karume

Ni hayo tu kwa leo
 
Great thinker
Leo ni siku ya historia kwa Tanganyika +Zanzimbar utake usitake na ndo maana mmepumzika na hamjaenda kazini
TBC1 naona yupo Hassan na Hadija walio husika na kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzimbar enzi hizo. Nna maswari kidogo kwa wazazi wetu wa enzi hizo
1 .Nini ilikuwa falsafa ya kuunganisha udogo huo?
2.Nini historia ya nchi hizi kabla hazijaungana?
3. Ilikuwaje tanganyika tupoteza jina letu tanganyika na wazanzimbar wabakie na jina lao Tanzania
4.Nini ilikuwa falsafa ya muungano huu @@@@ Mwlaimu Nyerere +Karume

Ni hayo tu kwa leo
 
Great thinker
Leo ni siku ya historia kwa Tanganyika +Zanzimbar utake usitake na ndo maana mmepumzika na hamjaenda kazini
TBC1 naona yupo Hassan na Hadija walio husika na kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzimbar enzi hizo. Nna maswari kidogo kwa wazazi wetu wa enzi hizo
1 .Nini ilikuwa falsafa ya kuunganisha udogo huo?
2.Nini historia ya nchi hizi kabla hazijaungana?
3. Ilikuwaje tanganyika tupoteza jina letu tanganyika na wazanzimbar wabakie na jina lao Tanzania
4.Nini ilikuwa falsafa ya muungano huu @@@@ Mwlaimu Nyerere +Karume

Ni hayo tu kwa leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom