Wakati watanzania hawajasahau jinsi walivyolizwa na great television (GTV), ambayo ilifunga mitambo yao kama wiki mbili zilizopita, tayari mtandao mpya uitwao Excellentcoms au HITS nao unafunga virago kuondoka Tz baada ya mwekezaji kufilisika huko Marekani. Mtandao huo ambao ulikuja kwa kasi ya ajabu, ukiwa umejenga minara karibu kila kona ya nchi na ukitarajia kuanza kutoa huduma zake tangu December 2008, sasa umewapeleka likizo wafanyakazi wake na hatima yake haijulikani.
Pia inasemekana kuwa Barclays Bank nayo inachungulia kaburi wenye mafedha huko kaeni chonjo
Pia inasemekana kuwa Barclays Bank nayo inachungulia kaburi wenye mafedha huko kaeni chonjo