kipipili JF-Expert Member Jul 29, 2009 1,590 183 Aug 30, 2010 #1 hawa jamaa nimesikia wamerudi kwenye soko la telecoms, vipi hawana nafasi za ajira? maana sijasikia, au ndio wanachakachua
hawa jamaa nimesikia wamerudi kwenye soko la telecoms, vipi hawana nafasi za ajira? maana sijasikia, au ndio wanachakachua
Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,603 29,743 Aug 30, 2010 #2 wapo wapi hawa jamaa? i mean ofisi zao na contacts et all
Pdidy JF-Expert Member Nov 22, 2007 50,955 22,136 Aug 30, 2010 #3 Msanii said: wapo wapi hawa jamaa? i mean ofisi zao na contacts et all Click to expand... kumbe mnawakumbuka ONYO ANGALIEN MSIACHE NAFASI ZENU ZA KAZI;;AITAMANIKI HII
Msanii said: wapo wapi hawa jamaa? i mean ofisi zao na contacts et all Click to expand... kumbe mnawakumbuka ONYO ANGALIEN MSIACHE NAFASI ZENU ZA KAZI;;AITAMANIKI HII
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Aug 30, 2010 #4 kipipili said: hawa jamaa nimesikia wamerudi kwenye soko la telecoms, vipi hawana nafasi za ajira? maana sijasikia, au ndio wanachakachua Click to expand... Mkuu mi nilivyoanza kusoma heading nikajua unamimina hapa jukwaani nafasi za kazi walizotazitagaza Hits. Kumbe!!
kipipili said: hawa jamaa nimesikia wamerudi kwenye soko la telecoms, vipi hawana nafasi za ajira? maana sijasikia, au ndio wanachakachua Click to expand... Mkuu mi nilivyoanza kusoma heading nikajua unamimina hapa jukwaani nafasi za kazi walizotazitagaza Hits. Kumbe!!