wadau za kazi? kuna namba hii ya tigo 0657101228 inanisumbua sana na nimejaribu nmna ya kumjua ila nimeshindwa na pia nadhani huyu jamaa ananifaham vizuri na yupo karibu na mimi ila nimechemsha kabisa kumjua. nimekwenda tigo office lakini wamechomoa kunisaidia hadi niende kupewa RB polisi, na mimi naona usumbufu. je wadau kuna njia rahisi ya kumjua huyu mdau anae nisumbua?