Salute mkuu, umenipa somo kubwa sana.
Itakuwa umewaudhi wadini
Thnx mkuu
kvp mkuu..
M-mission kutunga wimbo wa Taifa!
mwenye nayo atuwekee hapa hiyo melody ya SA na huo wa zambia tuziskie
Ndo nimejua kuwa na Zambia wanatumia melody sawa.Shukran mkuu
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
hahaha,nchi yetu inaelekea kubaya sana...
Weka maneno ya nyimbo zote