Melody za wimbo huo ambao kwa Tanzania unaitwaMungu Ibariki Afrika, zimetoka kwenye wimbo uitwao Nkosi Sikelel iAfrika, neno la lugha ya Xhosa lenye maana hiyo hiyo pia). Wimbo huo ulitungwa mwaka 1897 na Enoch Sontonga, aliyekuwa mwalimu kwenye shule ya misheni ya jijini Johannesburg.
Wimbo huo ulianza kutumika kama wimbo maalum wa hekaheka za ukombozi wa Afrika na baadaye kuanza kutumiwa kama nyimbo za taifa za nchi tano barani Afrika, zikiwemo Zambia, Tanzania, Namibia na Zimbabwe baada ya kupata uhuru.
Afadhali umeweka picha.
Thanks for info.
Safi sana hiyo elimu kwa wasioijua.
Huyu Enoch Sontonga amezikwa makaburi karibu na jiji la Johannesburg.
Hata hivyo kaburi lske halisi halijulikani.