Temporary01
JF-Expert Member
- May 12, 2011
- 260
- 70
Kinachoshangaza ni kuwa hiyo anwani ya Posta 21842, Kigoma, ndio hiyohiyo namba yake ya simu!
Isitoshe, Posta Kigoma hawajafikia idadi hiyo ya masanduku.
Kama ni kweli amejaza SLP 21842 Kigoma, basi Sheikh Ponda ni tapeli.
Kwanini tusimwite alieleta hizi habari ndio tapeli?
Tunaushahidi gani kama kasema kweli?
Anangoja nini asipeleka uhamiaji au hata mahakamani?
Mnapoteza muda kujaribu kupambana na Nuru ya Mwenyezi Mungu, kamwe hamtofanikiwa.
Wamarekani na juhudu zao zote wameshindwa na bado Uislam ndio dini inayo kua kwa kasi kuliko zote duniani.