Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
This just shows that however intelligent one is that 'crime does not pay'
Kama hajapelekwa mahakamani na kuthibitishwa kwa kosa alilolifanya mtu huyo anaendelea kuwa hana kosa lolote lile kisheria.mwambe mtu kma chenge kuwa crime doesnt pay kma hajakucheka kwa dharau.
Story alertWakuu kesho j'pili tar 9/10 naweka stori mpya..
Huyo jamaa nilisoma nae shule ya msingi Buzwagi,alikua anaiba mpaka chaki.
Huyo jamaa nilisoma nae shule ya msingi Buzwagi,alikua anaiba mpaka chaki.
Hahahahah!! Duuuuuuhhh
Umeona eeh!! Alafu tukiambiwa Tuna kurupuka ktk mambo yetu na maamuzi tuna washutumu watuambiao kuwa ni Wachochezi!!Jamaa kweli ni noma! yani mtu unajipanga miaka 10 mbele kwa ajili ya tukio moja tu! Hapa kwetu bongo unapiga unapaga tukio na leo asubuh mchana unaenda kuvamia bank matokeo yake unafumuliwa ubongo
Hawa wa kwetu humu jf kuna kitu watakuwa wamejifunzaDuniani kuna majambazi hatari Sana
Ahahah, kweli kabisa tena inawezekana tayari wameshachukua hatuaHawa wa kwetu humu jf kuna kitu watakuwa wamejifunza
Labda watatupa mrejesho tusubiriAhahah, kweli kabisa tena inawezekana tayari wameshachukua hatua
Ningependa uje pia na historia ya yule Carlos jambazi maarufu na matukio aloyafanya kama sijakoseaWakuu kesho j'pili tar 9/10 naweka stori mpya..